Na Barnabas Kisengi Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew ameitaka Bodi teule ya Shirika la Posta Tanzania kuifanikisha mpango mkakati wa Serikali wa kulifanya Shirika hilo kuwa kitovu cha Biashara Mtandao kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC). Mhandisi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed