BODI MPYA YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA YATAKIWA KUSIMAMIA SHIRIKA HILO KUWA KITOVU CHA BIASHARA MTANDAO

Na Barnabas Kisengi Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,  Mhandisi Kundo Mathew ameitaka Bodi teule ya Shirika la Posta Tanzania kuifanikisha mpango mkakati wa Serikali wa kulifanya Shirika hilo kuwa kitovu cha Biashara Mtandao kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC).  Mhandisi